JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais Samia ameibeba ajenda ya nishati safi ya kupikia kimataifa – Dk Biteko

📌 Ashiriki Kongamano la Nishati Safi ya kupikia Zanzibar 📌 Ahamasisha ubunifu katika teknolojia za Nishati Safi ya Kupikia 📌 Apongeza ubunifu wa mita za kupimia gesi 📌 Wadau wahamasishwa kutoa elimu ya Nishati Safi ya Kupikia Imeelezwa kuwa, Rais…

JKCI yaendelea kuwa kivutio kwa mataifa ya Afrika

Madaktari nane Congo kuja kujifunza kuanzia Jumatatu Na Mwandishi Wetu, JakhiriMedia, Dar es Salaam MADAKTARI nane kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wanatarajiwa kutembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), kwaajili ya kujifunza namna taasisi hiyo ilivyopiga hatua…

JJAD Kagera Farmers yamshukuru Rais Samia kwa bei nzuri ya Kahawa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMPUNI inayojihusisha na kilimo cha kahawa JJAD Kagera farmers imeishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kusaidia bei ya kahawa kupanda bei hadi kufikia shilingi 1,200 mwaka…

Madaktari nane wa DRC waja kujifunza JKCI

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MADAKTARI nane kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wanatarajiwa kutembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), kwaajili ya kujifunza namna taasisi hiyo ilivyopiga hatua katika tiba ya moyo na uwekezaji mkubwa…

Breaking News; Basi lagongana uso kwa uso la lori, wanne wafariki

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Vigwaza WATU wanne kati yao wakiwa ni wanawake watatu na mtoto mmoja wamefariki dunia agost 22,2024 saa 8 mchana katika ajali iliyotokea barabara Kuu ya Morogoro eneo la Vigwaza mkoani Pwani. Aidha wapo majeruhi kadhaa ambao…