JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

NAM iendeleze ushirikiano katika masuala ya ulinzi – Majaliwa

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesisitiza Wakuu wa Nchi na Serikali Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM) wahakikishe wanashiriki katika kila tukio la umoja huo pamoja na kuendeleza ushirikiano katika masuala ya ulinzi na usalama pamoja na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi….

VETA, NIT waunganisha nguvu kuandaa walimu wa ufundi nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kupitia Chuo cha Ualimu wa Ufundi Stadi Morogoro (MVTTC) wametia saini hati ya makubaliano na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), kuanzisha ushirikiano wa utoaji wa…

Serikali yaendelea kushusha gharama za uletaji mafuta kuleta ahueni kwa wananchi

📌Dkt. Biteko asema gharama ya mafuta ni nafuu kulinganisha na nchi jirani 📌Asema kampuni ya mafuta TANOIL inaboreshwa ili kuleta ufanisi 📌Asisitiza PBPA ni nguzo ya Serikali katika uhakika wa upatikanaji mafuta 📌PBPA yazidi kudhibiti upotevu wa mafuta Na Mwandishi…

Kocha Mkuu Taifa Stars afungiwa mechi nane

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche Amefungiwa Mechi nane na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kufuatia kauli zake alizozitoa kuwa Morocco ina ushawishi ndani ya CAF katika kupanga mechi pamoja…

Nchimbi aanza kazi kwa mambo matatu, apokelewa Zanzibar

*Atema cheche akionya makundi ya uchaguzi, asema ni mjinga tu hukoleza moto baada ya kupakua Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amekemea na kuonya tabia ya baadhi ya wanaCCM wanaovunja taratibu za Chama kwa…

Viongozi mbalimbali washiriki mkutano wa nchi za Kundi la 77 nchini Uganda

Takriban theluthi mbili ya nchi duniani zimekusanyika jijini Kampala, Uganda kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM) wenye nchi Wanachama 120 na Mkutano wa nchi za Kundi la 77 na…