JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Wengine 600 wahama kwa hiari Hifadhi ya Ngorongoro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imelipongeza kundi la watu 600 waliokuwa wakazi ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kwa uamuzi wao wa hiari wa kupisha shughuli za uhifadhi ndani ya hifadhi hiyo. Pongezi hizo zimetolewa leo Februari 1, 2024 na…

SerikaliIl imetenga bil.899.4/- kuajiri wahudumu wa afya ngazi ya jamii 137,294

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetenga jumla ya Tsh. bilioni 899.4 kwa ajili ya kutekeleza mpango wa kuajiri na kuwajengea uwezo jumla ya Wahudumu…

CBE yaanza kufundisha Shahada za Umahiri mtandaoni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeanza kutoa Shahada za Umahiri kwa njia ya mtandao kwa fani sita njia ambayo imeanza kuchangamkiwa na wasomi wengi kutokana na kuwa nafuu kulinganisha na kusoma darasani. Hayo yamesemwa…

DCEA yatangaza kiama kwa wazalishaji, wauzaji na wasafirishaji dawa za kulevya

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma MAMALAKA ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya (DCEA) kupitia oparesheni zake mbalimbali imebaini watoto wengi waliocha shule na waliotelekezwa mitaani ndiyo wengi wanaotumika kwenye magendo ya kusafirisha dawa za kulevya kwenye maeneo mbalimbali…