JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Mweka hazina mbaroni kwa ubadhirifu wa fedha za kikundi

Agosti 22, 2024 Mahakama ya Wilaya Ilala ilimtia hatiani mshtakiwa Sefania Adam Mwanja-ambaye ni mweka jazina wa Kikundi cha Afya Jamii. Bw. Mwanja alikabiliwa na makosa ya kughushi, uhujumu ichumi na itakatishaji wa fedha haramu katika shauri la uhujumu uchumi…

500 kutoka asasi za kiraia kushiriki maadhimisho wiki ya AZAKI 2024 Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Washiriki zaidi ya 500 kutoka Asasi za Kiraia (AZAKI), Sekta Binafsi, Serikali na wadau mbalimbali wa maendeleo wanatarajiwa kushiriki maadhimisho ya Wiki ya AZAKI 2024, itakayofanyika kuanzia Septemba 9 hadi 13 Jijini Arusha….

REA : Tutaendelea kufanya tafiti za bidhaa za nishati safi za kupikia zinazosambazwa kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amesema Wakala utaendelea kufanya tafiti za bidhaa za Nishati Safi za Kupikia ili kubaini ufanisi wa teknolojia zinazosambazwa kwa wananchi. Mhandisi Saidy amesema hayo…

Askari endelezeni mazoezi ya karati – CP Hamad

Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Kamos Hamad amewataka askari wa Jeshi la Polisi kuendeleza mazoezi ya karate kwa lengo la kuongeza ukakamavu na kujiamini. Akipokea vifaa vya michezo kutoka Jumuiya ya Korea Friend of Hope huko Madungu, Wilaya ya…