JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Serikali yasaini mkataba wa umeme wa megawatt 49.5 kutibu kero ya umeme Kigoma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati nchini Dkt ,Dotto Biteko ameshuhudia utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa mradi wa Uzalishaji umeme wa megawatt 49.5 kwa nguvu ya maji katika mto Malagalasi Mkoani Kigoma Utakaogharimu…

Katambi akabidhi ambulance, majiko 145 kwa makundi ya kijamii Shinyanga

Suzy Butondo,JamhuriMedia, Shinyanga Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Patrobas Katambi ambaye ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu amekabidhi gari la kubebea wagonjwa ‘ Ambulance’ na vitanda nane kwa ajili ya wagonjwa katika Hospitali…

Vyanzo vipya vya umeme kuanzishwa kukidhi ongezeko la mahitaji – Dk Biteko

📌Ashuhudia utiaji saini mkataba Mradi wa Umeme Malagarasi (49.5) 📌Aagiza TANESCO kuondokana na urasimu kwenye miradi ya umeme 📌Wabunge KIGOMA wapongeza Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali imeamua…

Wafanyabiashara wadogo, makundi maalum yapewe kipaumbele ununuzi wa umma – Dk Biteko

📌Ashuhudia makubaliano ya PPRA na NEEC kuwezesha makundi maalum 📌Aagiza rufaa za makundi maalum PPRA zisikilizwe haraka 📌Ataka makundi maalum yajengewe uwezo kuweza kushindana na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko…

Waziri Simbachawene, “awapongeza walimu Mpwapwa”

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora George Simbachawene amewapongeza Idara ya Elimu sekondari ya Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa kwa kufanya vizuri katika Mtihani wa kidato cha nne…

TAKUKURU Shinyanga yawataka wananchi kujihadhari na matapeli wanaojifanya maafisa wa Serikali

Na Suzy Butondo, JamhuriMedia, Shinyanga Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoani Shinyanga, Donasian Kessy amewataka wananchi kujihadhali na wimbi la matapeli lililoibuka hivi karibuni,ambalo limekuwa likitapeli watu kwa kutumia simu za mkononi. Tahadhali hiyo ameitoa leo…