Year: 2024
Ivory Coast na hadithi ya ikisikika nyuma geuka…
Na Isri Mohamed Ule msemo wa ikisikika nyuma geuka wa mwisho anakuwa wa kwanza umejidhihirisha wazi kwa timu ya taifa ya Ivory Coast ambayo licha ya kufuzu hatua ya 16 bora kwa njia ya ‘Best Looser’ lakini wametwaa ubingwa wa…
PAC yaipongoza e-Ga kwa ubunifu,usanifu na utengenezaji mifumo ya TEHAMA yenye tija
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma KAMATI ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC), imeipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kuendeleza tafiti na bunifu zinazochagiza usanifu na utengenezaji wa mifumo ya TEHAMA inayoleta tija kwa taifa. Pongezi hizo zimetolewa na…
Rais Samia kuongoza mazishi ya Lowassa Februari 17
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuongoza Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa yanayotarajiwa kufanyika Wilayani Monduli mkoani Arusha Jumamosi Februari 17, 2024. Awali Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alitangaza siku tano…
Lowassa, mwanasiasa aliyekuwa na ndoto ya kuwa Rais Tanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Edward Lowassa ni Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania aliyehudumu katika nafasi hiyo kati ya Desemba 30, 2005 na Februari 7, 2008 wakati wa uongozi wa awamu ya nne wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Lowassa alizaliwa…
Dk Mpango atoa maelekezo kwa wizara za ardhi na ulinzi
Na Mwandish Wetu, JamhuriMedia, Arusha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdori Mpango ameielekeza Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na ile ya Ulinzi kwenda eneo la Oldonyosambu lilipo wilaya ya Arumeru mkoa…
Rais Mwinyi amlilia Lowassa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2005 – 2008 Mhe. Edward Ngoyai Lowassa kilichotokea…