JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

ACT – Wazalendo yadhamiria kufuatilia miswada waliyopeleka bungeni iwe sheria

Na Magrethy Katengu, JamhuriaMedia, Dar es Salaam Chama cha Act -Wazalendo kimesema kitahakikisha kinafuatilia miswada waliyopeleka bungeni hadi ipitishwe kuwa sheria ikiwemo kudai tume huru ya uchaguzi aliyepoteza kadi ya kura au kufutika alipie fedha apewe nyingine, Tume ya Uchaguzi…

Waziri wa Ulinzi Marekani akimbizwa ICU

Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Lloyd Austin amelezwa katika kitengo cha wagonjwa mahututi mjini Washington kwa matibabu huku ikielezwa kuwa anasumbuliwa na tatizo la kibofu”, maofisa wa Kituo cha Matibabu cha Kijeshi cha Walter Reed walisema. Austin, 70, baadaye alihamishia…

Sebastian Haller: Shujaa wa Ivory Coast, Rafiki wa Februari

Na Isri Mohamed Baada ya Ivory Coast Kutwaa Ubingwa wa AFCON 2023 jina la Mchezaji Sébastien Haller Aliyefunga Bao la Ushindi Lililowapa Ubingwa Limetajwa sana kama shujaa wa Ivory Coast na rekodi yake na mwezi Februari.. Haller anaimbwa kama shujaa…

TMDA yapata cheti umahiri katika utendaji

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na masuala ya Ukimwi, Stanslaus Nyongo amesema Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imekuwa kitovu cha umahiri katika tathmini na usajili wa dawa barani Afrika na kuwa na maabara inayotumika…

Rais Samia aweka historia, akutana na Papa Francis Vatican

Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S., Vatican Uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Vatican ulianzishwa kunako tarehe 19 Aprili 19, 1968 na Askofu mkuu Pierluigi Sartorelli akateuliwa kuwa ni Balozi wa kwanza wa Vatican nchini Tanzania, utume alioutekeleza hadi…