JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Wadau wa vyombo vya utangazaji nchini wamuenzi hayati Lowassa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Ikiwa ni Mkutano wa mwaka wa vyombo vya Utangazaji nchini,Wadau wa vyombo vyombo hivyo wametumia dakika tano kumuenzi aliyewahi kuwa Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Edward Lowassa ambaye alifariki dunia February 10,2024 akiwa anapatiwa matibabu jijini Dar…

Mkutano wa mwaka wa Vyombo vya Utangazaji nchini wafanyika Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI kupitia Wizara ya Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ,imevitaka vyombo vya habari kufuatilia kwa umakini mafunzo ya kanuni za uchaguzi katika kuelekea uchaguzi Mkuu wa Serikali za Mitaa kwani vina wajibu wa kutoa taarifa sahihi kwa…

DC Kishapu awashauri viongozi kutumia takwimu za sensa

Na Suzy Butondo,JamhuriMedia, Shinyanga Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Joseph Mkude amewashauli viongozi wa sekta mbalimbali katika wilaya ya Kishapu kutumia takwimu za sensa, ili kuleta umakini na ufanisi kwa kuzingatia idadi ya wananchi katika kutatua mipango ya maendeleo na…

Dk Mpango aongoza waombolezaji kuaga mwili wa Hayati Lowassa

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdor Mpango ameongoza mamia ya watanzani leo Jijini Dar es salaam Viwanja vya Kareemjee katika Maombezo ya kuuga Mwili wa aliyekuwa Waziri…

NIT yatoa mafunzo kwa wahudumu wa mabasi ya masafa marefu na Miji

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amefungua mafunzo ya usafirishaji kwa wahudumu wa mabasi ya masafa marefu na Mijini kanda ya Kati yaliyoandaliwa na chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT)kwa lengo la kuboresha huduma hiyo kuendana…

Daraja mto Ruaha Mkuu Morogoro kuchagiza maendeleo mikoa ya Nyanda za Juu Kusini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Imeelezwa kuwa Mradi wa Ujenzi wa Daraja la mto Ruaha Mkuu lililopo kwenye barabara ya Kidatu – Ifakara lenye urefu wa mita 133 mkoani Morogoro, utakapokamilika utakuwa na manufaa makubwa ikiwemo kuchagiza maendeleo, kukuza uchumi…