JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

TIMEXPO 2024 kuanza Septemba 26, mwaka huu, Dar

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo na Biashara Tanzania (TanTrade) wamefungua rasmi maonesho ya pili ya Kimataifa ya wazalishaji Tanzania (TIMEXPO 2024). Maonesho hayo yanatarajiwa kufanyika Septemba…

Mkutano Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani kuanza Februari 12, nchi 140 kuhudhuria nchini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Francis Mbindi ameeleza kuwa Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa 79 wa Baraza la Michezo ya Majeshi…

Rais Samia awapa maua yao Ramadhan Brothers

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza Wachezaji Sarakasi wa Kimataifa, Fadhili Ramadhani na Ibrahim Jobu maarufu kama Ramadhani Brothers baada ya kuibuka Mabingwa wa Dunia katika Mashindano…

Tutunze fasihi-Prof Mkenda

Na Mwandishi Wetu, Jamhurimedia, Dar es Salaam Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema ili kukuza lugha zetu ni lazima tuendeleze, tutunze na kuenzi fasihi. Prof. Adolf Mkenda ameyasema hayo leo Februari 20, 2024 jijini Dar es…

Maofisa Polisi waliopanda vyeo wala kiapo cha utii, maadili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Maofisa wa Jeshi la Polisi 155 waliopandishwa vyeo na Rais Samia Suluhu Hassan wamekula kiapo cha utii kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Camilius Wambura. Maofisa hao pia wamekula kiapo cha maadili…

Simba wamuacha Ayoub Dar, waelekea Ivory Coast

Kikosi cha klabu ya Simba usiku wa kuamkia leo kimeondoka kuelekea nchini Ivory Coast kwa ajili ya mchezo wa ligi ya mabingwa Afrika kundi B dhidi ya Asec Mimosas utakaochezwa Ijumaa ya Februari 23, 2024. Simba wamesafiri na wachezaji 23,…