JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

DCEA yateketeza ekari 1,165 za mashamba ya bangi Morogoro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na wananchi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama imefanya operesheni maalum mkoani Morogoro kwa muda wa siku tisa katika vijiji vya Nyarutanga,…

Shule ya sekondari Hasnuu Makame yaitikia agizo la matumizi ya nishati safi ya kupikia

📌 Mwalimu Mkuu aeleza namna Nishati Safi ya Kupikia ilivyookoa nusu ya gharama 📌 Aeleza athari zilizopatikana wakati wakitumka nishati isiyo safi Moja ya maagizo ya Serikali kuelekea katika safari matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia nchini ni taasisi zikiwemo…

Watakaofiwa na wazazi shule ya Brilliant kuendelea na masomo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mbunge wa Bukoba Vijijini (CCM), Dk. Jasson Rweikzia, ametangaza kwamba kwenye mtandao wa shule za St Anne Marie Academy unaominilikia pia shule ya Brilliant ya Kimara Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Salaam,…

Hezbolllah yasema ilirusha makombora zaidi ya 320

Kundi la Hezbollah limesema kwamba limerusha makombora zaidi ya 320 kuelekea Israel alfajiri ya Jumapili. Katika taarifa iliyotolewa mapema Asubuhi, kundi hilo lilisema kwamba lililenga maeneo kumi na moja ya kijeshi kaskazini mwa Israel kwa kutumia maroketi za aina ya…

Urusi yaishambulia Ukraine kwa makombora na droni

Ukraine imesema Urusi imevurumisha makombora na droni kwa usiku kucha ikilenga maeneo ya kaskazini na mashariki mwa Ukraine. Aidha Jeshi la Anga Ukraine limeongeza kwamba droni nane kati ya tisa zilizorushwa na Urusi ziliharibiwa na mifumo ya anga ya Ukraine…

Tume Huru ya Uchaguzi yaviasa vyama vya siasa

Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akizungumza wakati akifungua mkutano wa siku moja wa Tume na Wadau wa Uchaguzi uliofanyika leo Agosti 25, 2024 mkoani Mara. Wadau hao ni pamoja na Viongozi wa vyama vya…