JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Waziri Simbachawane aitaka TAKUKURU kuwadhibiti wachezeaji rasilimali za nchi

Na Lusungu Helela, JamhuriMedia, Iringa  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU kudhibiti mianya ya rushwa katika fedha za miradi ya…

Mtindo mpya wa kutalii unavyoipaisha Hifadhi ya Mikumi

Na Alex Kazenga, JamhuriMedia, Morogoro Urahisi wa kuwaona tembo, simba, twiga na chui katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi kimekuwa kichocheo kwa watalii wa nje kuitembelea wengi wakitokea Zanzibar, Jamhuri limeelezwa. Kamanda wa hifadhi hiyo, Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Augustine…

Rais Samia akutana na Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais mstaafu wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta wakati alipowasili Ikulu Tunguu Zanzibar tarehe 21 February, 2024.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe….

TMA yawanoa wanahabari kuelekea masika 2024

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMesia Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imekutana na wanahabari kutoka vyombo mbalimbali kujadili kuhusu utabiri wa msimu wa Masika (Machi –Mei) 2024, unaotarajiwa kutolewa tarehe 22 Februari 2024. Utabiri huu ni mahususi…

Utekelezaji mradi wa Tanzania ya kidijitali wafikia asilimia 70

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bw. Mohammed Khamis Abdulla amesema utekelezaji wa mradi wa Tanzania ya Kidijitali umefikia asilimia 70 na utekelezaji wake ni wa miaka mitano kuanzia 2021…