JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

ACT – Wazalendo wazindua sera ya jinsia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimezindua Sera ya jinsia ikiwa ni mwelekeo na jitihada za chama hicho kuongeza ushiriki wa wanawake katika vyombo vya maamuzi. ACT Wazalendo kimekuwa chama cha kwanza cha siasa kuwa…

Dk Ibenzi aeleza namna Serikali ilivyoitua mzigo Hospitali ya Rufaa Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Waganga wafawidhi wa hospital za rufaa Tanzania bara Dk. Stanslaus Ibenzi ameeleza kuwa kwa sasa Hospitali hiyo haielemewi na wagonjwa kutokana na Serikali kuwekeza…

Sekta ya Madini yachagiza ushiriki wa wanawake katika uvunaji rasilimali madini

📌Waziri Mavunde asisitiza wanawake washiriki zaidi katika uchumi wa madini 📌STAMICO yapongezwa uwezeshwaji wanawake 📌Mhandisi Mbenyange wa STAMICO apokea tuzo Mwanamke wa pekee Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Imeelezwa kuwa, Wizara ya Madini imevutia ushiriki wa wanawake katika…

Rais Samia aongoza wananchi kutoa heshima za mwisho kwa Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi Zanzibar

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi wakati wa Hafla ya kutoa Heshima za mwisho kwa Rais Mstaafu wa awamu…

Warioba : Mwinyi aliingia madarakani hali iliwa mbaya

Waziri Mkuu mstaafu, Joseph Warioba amesema changamoto zilizopo kwa sasa ni ndogo kulinganisha na kipindi Rais Ali Hassan Mwinyi aliposhika madaraka. Akizungumza wakati wa kuuaga mwili wa kiongozi huyo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, Warioba amesema kipindi Mwinyi anaingia…