JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Waandishi wa habari wana jukumu la kusaidia kutoa elimu ya mabadiliko ya hali ya hewa

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Vyombo vya Habari nchini wametakiwa kuendesha ajenda ya hali ya Mabadiliko ya hali ya Hewa kuanzia ngazi ya chekechea mpaka ngazi ya chuo. Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi, Hellen Utaru amesema waandishi wa…

Wanachama NHIF wafurahia huduma za JKCI Hospitali ya Dar Group

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wameipongeza Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group iliyopo TAZARA wilayani Temeke kwa huduma bora za matibabu inazozitoa kwa wagonjwa….

BAKWATA Tabora wafanya ibada maalum kumwombea hayati Mwinyi

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda Burian ameungana na Mashehe wa Mkoa huo, waumini wa dini ya Kiislamu na mamia ya wakazi wa Mkoa huo kumwombea dua Rais Mstaafu wa awamu ya pili…

Taasisi ya DIWO yawakutanisha wanawake, yawaonya kutobaguana

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Kuelekea siku ya wanawake duniani inayoadhimishwa kila mwaka Machi 8,Taasisi isiyo ya Kiserikali inalojihusisha na masuala ya Wanawake nchini ya Dira Women(DIWO )imewakutanisha wanawake wa Mkoa wa Dodoma katika usiku wa mwanamke, uchumi na familia ili…