JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Waziri Aweso azindua kampeni ya Dawasa Mtaa kwa Mtaa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amezindua kampeni ya Dawasa Mtaa kwa Mtaa ambayo inalenga kuondoa changamoto mbalimbali kwa wananchi ili kuhakikisha huduma ya maji safi na salama inapatikana. Kampeni hiyo itakayosambaa nchi nzima…

Marekani yasisitiza nia ya kuendeleza mradi wa Kabanga Nickel na Kampuni ya BHP

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Marekani imesisitiza nia ya kushiriki katika kuendeleza Mradi wa Kabanga Nickel na Kampuni ya BHP. Pia imeweka mkazo wa ushiriki wake katika mradi huo wa kimkakati ambao ni kati ya miradi…

Tanzania yawanoa wataalamu wa hali ya hewa Afrika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katika kuwajengea uwezo wataalamu wa hali ya hewa kutoka Taasisi za Hali ya Hewa barani Afrika, Kitengo cha Elimu na Mafunzo cha Shirika la Hali ya Hewa Duniani kwa kushirikiana na Chuo cha Taifa cha Hali…

REA yamtaka mwendelezaji mradi wa kufua umeme Maguta Iringa kuongeza kasi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Serikali imemtaka mwendelezaji wa mradi wa kufua umeme kwa kutumia maporomoko ya maji wa Maguta uliopo katika Kijiji cha Masisiwe Wilayani Kilolo mkoani Iringa kuukamilisha kwa wakati. Mkurugenzi wa Teknolojia za Nishati Jadidifu na Mbadala…

‘Mjiandae na Uchaguzi Mkuu 2025’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Manyara TUME huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka watendaji Mkoa wa Manyara kutumia elimu na ujuzi walioupata kwenye mafunzo ya uandikishaji wa zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura ikiwa ni sehemu ya maandalizi…