JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais Samia ahutubia mkutano wa mawaziri wa Sheria wa nchi wanachama Jumuiya ya Madola Zanzibar

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Patricia Scotland wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola uliofanyika katika Hoteli ya…

Naibu Waziri Pinda awatuliza wananchi mgogoro wa mashamba Babati

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda amewatuliza wananchi wa vijiji vya Kimara na Kiru Dick vilivyopo halmashauri ya Babati mkoa wa Manyara kufuatia mgogoro wao na wawekezaji wa mashamba….

Bruno na Singida FG ndio basi tena

Na Isri Mohamed Kiungo wa Brazil anayekipiga klabu ya Singida Fountain Gate, Bruno Barroso amethibitisha kuachana na klabu hiyo kwa makubaliano ya pande zote mbili kuanzia leo Machi 4, 2024. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Bruno amepost barua yenye ujumbe…

Bashungwa atoa masaa matatu kurejeshwa mawasiliano ya barabara Mtwara – Masasi yaliyokatika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Masasi Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameelekeza Wakala wa Barabara (TANROADS) kuhakikisha wanarejesha mawasiliano ya barabara iliyokatika eneo la Maili Mbili katika barabara ya Mtwara-Mingoyo-Masasi ndani ya masaa matatu mara baada ya Daraja kusombwa na maji…

Bwawa la Nyerere mkombozi, Rais Samia atimiza ndoto ya Magufuli kwa vitendo

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Rufiji Mgawo wa umeme uliolisumbua taifa kwa muda mrefu sasa unafikia ukomo baada ya Bwawa la Mwalimu Nyerere kuanza kuzalisha umeme kwa kuingiza kwenye gridi ya taifa megawati 235 mwezi huu, JAMHURI linathibitisha. Kuanzia Febaruari 22,…