JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Mollel, Nkya watikisa michuano ya gofu kumuenzi Lina

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Nuru Mollel wa klabu ya Arusha Gymkhana na Fadhil Nkya kutoka klabu ya Gymkhana Dar es Salaam wameibuka mabingwa katika michuano ya kumuenzi mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya gofu Lina…

Makonda abaini kukithiri kwa dhulma, Rais Samia kuanza kusikiliza kero

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Paul Makonda amesema katika ziara yake aliyoifanya hivi karibuni katika mikoa 23 amebaini mambo makubwa matatu ikiwemo kukithiri kwa dhulma. Akizungumza…

Kwaheri Mzee Mwinyi

Na Waandishi Wetu, JamhuriMedia Mwendo wa maisha ya Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, umemalizika baada ya Jumamosi ya wiki iliyopita kuzikwa katika Kijiji cha Mangapwani, Zanzibar. Mwinyi, maarufu kwa jina la ‘Mzee Rukhsa’ amezikwa katika kijiji hicho…

Zuchu afungiwa miezi sita Zanzibar

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia Baraza la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni la Zanzibar, ( BASSFU), limemfungia msanii wa kizazi kipya Zuhura Othman Masoud maarufu kwa jina la Zuchu kuendesha shughuli zote za sanaa visiwani Zanzibar kwa kipindi cha miezi sita….

Sagini atangaza siku 14 kuondoa namba za 3RD

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imetangaza siku 14 kwa watumiaji wa Vyombo vya Moto barabarani kuondoa namba za magari zilizoongezwa ukubwa maarufu kama (3D) na Vimulimuli kwa magari yote yasiyoruhusiwa kuwekwa,…

Rais Samia atoa bilioni 7 kujenga shule mpya za msingi 12 Ruvuma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi bilioni 7.2 kupitia mradi wa BOOST kujenga shule 12 mpya za msingi na miundombinu mbalimbali katika shule 44 mkoani Ruvuma. Mkuu wa Mkoa…