JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Pinda amshukuru Rais Samia uwekezaji mkubwa Hospitali ya Mpimbwe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mlele Mbunge wa Jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kutokana na uwekezaji mkubwa unaofanyika…

Nchi wanachama EAPP zakubaliana kuipa msukumo miradi ya umeme

📌 Dkt. Biteko asema suala la kuwapa nishati wananchi sio hiari 📌 Asisitiza miradi ya usafirishaji umeme EAPP kukamilika kwa wakati 📌 Vyanzo vipya vya umeme kuendelezwa kukidhi mahitaji Na Mwandishi Maalum Baraza la Mawaziri wanaohusika na mfumo wa pamoja…

Tanzania yatoa msimamo wake WTO

Tanzania ikiwa ni mmoja wa waanzilishi wa Shirika la Biashara Dumiani (WTO) inaunga mkono mfumo wa biashara unaotegemea sheria ambazo zinatoa ulinzi na fursa kwa Nchi wanachama wote haswa Nchi zinazoendelea katika kuhakikisha maendeleo endelevu duniani yanapatikana Vilevile, Tanzania inaunga…

Waziri Chana aongoza maelfu kuaga miili ya watu 11 waliofariki kwenye ajali lori Arusha

Waziri wa Katiba na Sheria Balozi Dkt. Pindi Chana ameongoza maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid wa Arusha kuaga na kutoa heshima ya mwisho kwa Miili ya marehemu waliofariki katika ajali mbaya iliyohusisha lori na magari madogo…

Yanga : Hatuendi Misri kununua kanzu, tunataka kuongoza kundi

Na Isri Mohamed Baada ya kumaliza kibarua chao dhidi ya CR Belouizdad kwa kuwapa kichapo cha mabao manne kwa nunge yaliyowafikisha hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika, klabu ya Yanga inatarajia kusafiri leo kuelekea nchini Misri kwa…

Serikali kujenga viwanda vya kuchakata samaki Kilwa, Fungurefu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)imesaini Mkataba wa upembuzi yakinifu wa ununuzi wa meli za uvuvi wa bahari kuu na ujenzi wa viwanda viwili vya kuchakata samaki Kilwa na Fungurefu utakaogharimu jumla ya…