JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Wakulima wa viungo Kizerui, Antakae walilia sheria ya usimamizi wa mazao hayo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga WAKULIMA wanaozalisha mazao ya viungo kwa mfumo wa kilimo hai katika vijiji vya Kizerui na Antakae wilayani Muheza mkoani Tanga wameiomba Serikali kutengezeza sheria za kusimamia mazao hayo ili kuweza kuyalinda na kuyaongezea thamani. Ombi…

Mloganzila kufanya upasuaji rekebishi wa macho kuanzia Jumatatu

Ndoto za Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha utalii tiba nchini zinaendelea kutimia ambapo safari hii Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Mloganzila imeandaa kambi ya siku tano ya upasuaji rekebishi wa macho. Kambi hiyo inatarajiwa kuanza Machi 11 hadi 15, katika…

Watumishi wanawake TUICO waadhimisha Siku ya Wanawake kwa kutoa misaada

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar wa Salaam WATUMISHI wanawake kutoka Chama Cha Qafanyakazi (TUICO) wameugana na wenzao nchini kuadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake duniani kwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Dunia Heri…

Rais Samia mbeba ajenda ya nishati safi ya kupikia

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amewaahidi watanzania kuibeba ajenda ya nishati safi ya kupikia kwa kutafuta fedha zaidi kukuza nishati ili kuitunza misitu na kuhifadhi mazingira . Dk. Samia amezungumza…

Wadau waitaka sheria afya ya uzazi

Na Irene Mark, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKATI duani ikiadhimisha Siku ya Wanawake, Tanzania imetakiwa kutengeneza sheria itakayompa mwanamke nguvu ya kuamua kuhusu masuala ya afya ya uzazi. Hali ilivyo sasa, inaelezwa kwamba nusu ya wanawake hapa nchini, hawafanyi uamuzi…

RC Mtanda awapongeza askari wanawake Kanda Maalum

Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Tarime Mkuu wa Mkoa wa Mara Said Mtanda amewapongeza askari wanawake toka Kanda maalumu Tarime/Rorya kwa kuheshimisha Siku ya Wanawake. Akizungumza katika maadhimisho ambayo kimkoa yamefanyikia katika Kata ya Nyamswa wilayani Bunda amesema hawajawahi kushindwa kusherehesha….