JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Waziri Gwajima atoa rai kwa taasisi kuwekeza kwa wanawake

Na Jumanne Magazi, Jamhuriamedia, Dar es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu Dk Dorothy Gwajima ametoa rai kwa taasisi mbalimbali nchini kuendelea kuwekeza kwa wanawake, kwani kwa kufanya hivyo, ni kuongeza kasi ya maendeleo, kukuza…

UNICEF yaahidi kusaidia utekelezaji mageuzi sekta ya elimu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Kimataifa la Kuhudunia Watoto (UNICEF) limeahidi kusaidia utekelezaji wa mageuzi katika sekta ya elimu ili kuhakikisha watoto wa kitanzania wanapata elimu bora. Hayo yameelezwa Machi 12, 2024 Jijini Dar es Salaam…

Kamati ya Bunge yakagua ujenzi wa jengo la Wizara ya Nishati Mtumba

📌 Yapongeza Wizara kushirikisha Taasisi za Umma kwenye ujenzi 📌 Yataka mkandarasi kuongeza kasi ya ujenzi 📌 Ujenzi wafikia asilimia 75 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kwa…

Mbaroni kwa wizi wa mifugo na utoroshaji

Na Abel Paul,Jeshi la Polisi- Tinde Shinyanga Jeshi la Polisi Kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo STPU, kimesema kinawashikilia watuhumiwa kadhaa kwa tuhuma za wizi wa mifugo na utoroshaji mifugo nje ya nchi huku likisema kuwa litaendelea kushirikiana na wananchi…

Siku ya misitu na upandaji miti kitaifa kufanyika Same

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Misitu na upandaji miti duniani ambayo kitaifa itafanyika Wilaya ya Same mkoani…