JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Madereva wa mabasi yaendayo mikoani wapata huduma ya upimaji macho

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriaMedia, Mbezi Hii ni wiki ya maadhimisho ya Ugonjwa wa Shinikizo la macho au Presha ya Macho duniani ambapo hospitali ya CCBRT,kwa kushirikiana na hospitali ya Barrack PolisI Kilwa Road na halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, wameadhimisha…

Kamati ya Bunge yaridhishwa na maboresho kiwanda cha KMTC Moshi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo, Mifugo na Uvuvi imelipongeza Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa kuboresha Kiwanda cha KMTC na kuendelea na uzalishaji wa vipuri pamoja na mashine…

Bilioni 79 kujenga vituo vya Polisi Kata nchi nzima

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Serikali imedhamiria kutumia kiasi cha Tshs.Bilioni 79 kujenga Vituo vya Polisi Kata 698 katika maeneo mbalimbali nchini lengo ikiwa kutataua changamoto za kiusalama kwa jamii ambapo kila kituo kinatarajiwa kugharimu kiasi cha shilingi milioni 115….

TEHAMA yaanda kongamano litakalo wakutanisha watu 300 Arusha

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Tume ya Habari na Mawasiliano nchini (TEHAMA), imeendaa jukwaa la tatu la usalama wa mitandao ya kielekitroniki la mwaka 2024 litakalofanyika kuanzia April 4 hadi 5 mwaka huu jijini Arusha ambapo washiriki 300…

Mume aua mkewe kwa kumchinja na kisu

Na Mwandishi Wetu ,JamhuriMedia, Mbeya Mwanaume mmoja aitwaye,Ombeni Kilawa (43,) mkazi wa Kijiji cha Lusese, Kata ya Igurusi wilayani Mbarali anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya kwa tuhuma za kumuua mke wake kwa kumchinja na kisu shingoni . Kwa…

Samatta aliomba asiitwe Stars

Na Isri Mohamed Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta aliomba kutojumuishwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa. TFF imesema Samatta alizungumza na Kocha Hemed Suleiman, kabla ya kutajwa kwa kikosi hicho na…