JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Bandari ya Dar es Salaam yavutia mataifa ya Ulaya, Asia na Afrika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Maboresho makubwa na uwekezaji unaoendelea kufanywa katika Bandari ya Dar es Salaam yamekuwa kivutio kwa mataifa mbalimbali ya Afrika na Ulaya kuja kuangalia na kushuhudia utendaji kazi wake na uwezekano wa kuanza kufanya…

Waziri Dkt. Gwajima: Msibweteke na elimu mliyoipata

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Dar es Salaam WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima ametoa wito kwa wahitimu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii kutokubweteka na kiwango cha elimu walichokipata bali…

Serikali yaiagiza WHI kuzingatia ubora kwenye miradi ya ujenzi unaoendana na thamani ya fedha

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Isdor Mpango ametoa maelekezo kwa Taasisi ya Watumishi Housing Investments(WHI) kuzingatia ubora na viwango stahiki wakati wa kujenga Nyumba za makazi ya Watumishi ili kuendana na thamani…

Let Matampi na Coastal Union lugha gongana

Na Isri Mohamed KLABU ya Coastal Union imetangaza kuachana na mlinda lango wao, Ley Matampi Raia wa Congo kwa makubaliano ya pande zote mbili. Matampi alijiunga na Wagosi wa Kaya mnamo Agosti 2023, akiwa na miaka 34 na kuonesha kiwango…

Rais Mwinyi azindua Rasimu ya Dira ya 2050

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema malengo makuu ya Rasimu ya Dira ya Maendeleo ya Taifa ni kugusa moja kwa moja katika kuboresha maisha ya watu, elimu, afya, ustawi wa amani na…

Arusha wamshukuru Rais Samia

đź“ŚMajiko ya Gesi ya Ruzuku yawafikia Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha wamemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mradi wa kusambaza majiko ya gesi kwa bei ya ruzuku ya asilimia 50 katika halmashauri hiyo. Wametoa pongezi hizo Desemba…