JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Ujerumani yatoa euro milion 70 kusaidia miradi ya maendeleo Tanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar ea Salaam Tanzania na Ujerumani zimesaini makubaliano ya ahadi (commitment) ya msaada wa kiasi cha euro milioni 70 (sawa na shilingi bilioni 193.71) kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo nchini Tanzania, ikiwemo Sekta…

Kampuni 180 za Tanzania, China kushiriki kongamano la uwekezaji Machi 27

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kile kinachothibitisha kuwa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umefungua fursa za kiuchumi Machi 27, 2024 kampuni 180 za China na Tanzania zinatarajiwa kufanya kongamano la uwekezaji na biashara hapa nchini. Kongamano…

Kamati yapitisha makadirio ya Bajeti kwa DCEA , Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imepitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/25 ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya na Ofisi ya Msajili…

Dk Mwinyi azindua fursa za uchimbaji mafuta na geai Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inapenda kuzialika kampuni zote za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi kushiriki katika Duru ya kwanza . Rais Dk.Mwinyi amewakikishia wawekezaji wote wa sekta ya…

Hifadhi ya Taifa Saadan yatakiwa kuwa na mpango mahususi wa maeneo ya uwekezaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Sadani Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii imeiagiza Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Saadani kuandaa mpango mahususi wa kuainisha maeneo yote ya uwekezaji ili kuvutia wawekezaji na kuiongezea hifadhi hiyo mapato. Kauli hiyo…

DK Mpango kumwakilisha Rais katika mkutano wa dharura SADC Zambia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Utatu wa Asasi mbili za Jumuiya…