JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

‘Watu binafsi wamechimba visima na kuwatoza wananchi gharama kubwa’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watu binafsi wamebainika kuchimba visima vya maji ambavyo vinatoa huduma kwa gharama ambazo hazibebeki kwa wananchi,ambapo imeibua changamoto kubwa ya upatikanaji wa huduma hiyo katika Jiji la Dar es salaam. Ameyasema hayo leo…

DC Simiyu : Hatutowavumilia wanaokaidi bei elekezi ya sukari

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Simon Simalenga amesema kuwa wafanyabiashara katika wilaya hiyo wameendelea kukaidi agizo la serikali la kufuata bei elekezi ya sukari na kuwauzia wananchi bei kubwa. Simalenga amesema kuwa bei ya sukari ambayo wafanyabiashara wanawauzia…

NIDA yatengeneza vitambulisho vya taifa Njombe kwa asilimia 95

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Jumla ya vitambulisho vya Taifa 369,002 vimezalishwa katika mkoa wa Njombe na kufikia zaidi ya asilimia 95 kati ya vitambulisho 397,143 ambavyo wananchi walijiandikisha na tayari vimeshaanza kusambazwa kwenye ofisi za maofisa watendaji wa kata….

Yanga Vs Mamelod, mzunguko ni bure

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Afisa habari wa klabu ya Yanga, Ali Kamwe ametangaza kuwa Rais wa Yanga, Hersi Said pamoja na Kamati yake ya Utendaji wamekubaliana kuwa mechi yao dhidi ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini itakayochezwa…

LAAC washtukia upigaji fedha ujenzi wa hospitali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imetoa maelekezo kwa watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo waliosimamia mradi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya hiyo na kusema kuwa kamati…

Dk Mwinyi azindua vitalu vya uwekezaji mafuta na gesi asilia

Na Fauzia Mussa, Maelezo Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapuinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema  Serikali inatoa fursa  kwa wawekezaji katika sekta ya Mafuta na Gesi Asilia  ili kuweza kutekeleza  shughuli hizo. Akizindua duru ya kwanza…