JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Wanawake sekta ya uvuvi Afrika watajwa kuwa na mchango mkubwa

Na Edward Kondela, JammhuriMedia, Dar es Salaam Imeelezwa kuwa wanawake wachakataji na wafanyabiashara wa mazao ya uvuvi barani Afrika wana mchango mkubwa katika Sekta ya Uvuvi, hususan katika uchatakaji na kilimo cha mwani. Hayo yamebainishwa jijini Dar es Salaam na…

Trilioni 1.4 kutumika kukabiliana na magonjwa ya Malaria, Ukimwi na TB

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Tanzania imepokea jumla ya dola za kimarekani milioni 602 sawa na trilioni 1.4 za kitanzania kwa ajili ya kukabiliana na magonjwa ya Malaria, Kifua Kikuu na UKIMWI katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia…

Zari, Dowei Care kutoa msaada Muhimbili

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni ya Dowei Care Technology ambao ni wazalishaji wa Taulo za kike na za watoto (SOFTCARE) wanatarajia kutoa msaada wa bidhaa zao katika Hospital ya Taifa ya Muhimbuli katika kitengo cha huduma za…

Bilioni 48.9 zatumika ujenzi jengo la DAWASA Yetu, kukamilika Juni

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge Uwekezaji na Mitaji ya Umma imekagua na kufurahishwa na maendeleo ya ujenzi wa jengo jipya la DAWASA Yetu lililogharimu shilingi bilioni 48.9 na linatarajiwa kukamilika Juni mwaka huu….

Waziri Silaa awaahidi wakulima waliochukuliwa ardhi Monduli kupata neema

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewahakikishia wakulima na wafugaji zaidi ya 120 kutoka Kijiji cha Loksale Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha kuwa malalamiko yao ya kuchukuliwa ardhi ekari 47,000 na serikali…

TANAPA: Watalii 1.5 watembelea Hifadhi za Taifa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) limesema kwa mwaka huu wa fedha 2023/2024 katika kipindi cha Julai 2023 hadi Machi 19, 2024 idadi ya watalii imeongezeka na kufikia 1,514,726. Aidha…