JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais Museveni amteua mtoto wake kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi

Rais Museveni amemteua mtoto wake wa kiume Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa kamanda mkuu wa jeshi, uteuzi huo hata hivyo umezua minong’ono huku wengi wakiamini kuwa Museveni anamsafishia njia mtoto huyo kuwa rais. Muhoozi Kainerugaba anachukua nafasi ya Jenerali Wilson Mbasu…

Dk Mpango ashtushwa matumizi ya fedha ujenzi wa Hospitali Mwanga

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa, kutuma timu ya watalaamu  kufika Wilaya ya Mwanga na kuchunguza matumizi ya fedha za ujenzi wa Hospitali ya…

Tanzania yaelezea uzoefu wake wa kidijiti Uswisi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkutano wa kwanza wa Bodi ya Ubunifu wa Kidijitali ya Shirika la Mawasiliano duniani (ITU) umefanyika jijini Geneva, Uswisi huku Tanzania ikitumia fursa hiyo kuelezea uzoefu kwenye masuala ya ubunifu wa kidigiti. Katika Mkutano huo, Tanzania…

Serikali yaelekezwa kuongeza nguvu mapambano dhidi ya Virusi Vya Ukimwi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeshauri serikali kuongeza nguvu ya mapambano dhidi ya virusi vya UKIMWI katika maeneo ya migodi; vituo vya magari makubwa, maeneo ya mialo ya samaki…

Sweden kusaidia ujenzi wa SGR

Na Benny Mwaipaja, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa na Biashara ya Nje wa Sweden, Diana Janse, jijini Dodoma, ambapo Naibu Waziri huyo, amemweleza…

Mafuriko Kilosa, wakazi 1400 waathirika, nyumba 351 zapata madhara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilosa Jumla ya watu 1404 wameathirika na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha katika Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro na nyumba 351 zimeingia maji pamoja na vyoo 368 vimebomoka. Hayo yalisemwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa,…