JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Mkurugenzi Sumbawanga kortini kwa kesi ya uhujumu uchumi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rukwa Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mpimbwe mkoani Katavi, Catherine Mashalla ameunganishwa na washtakiwa wengine saba katika kesi ya uhujumu uchumi na kufanya idadi ya washitakiwa katika kesi hiyo kufikia 14. Mashalla ambaye kwa sasa…

Nchi za SADC zajipanga kumaliza changamoto za kiusalama Mashariki mwa DRC na Jimbo la Cabo Delgado

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo anaongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa ngazi ya Makatibu Wakuu wa Utatu wa Asasi mbili za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)…

Waziri Mavunde aagiza kufutwa kwa leseni na maombi 2648

Jumla ya eneo la ekari milioni 13 zinashikiliwa na watu 6-Maeneo mengi kugawiwa vikundi vya wachimbaji wadogo na wawekezaji wenye uwezo wa kuchimba-Wamiliki wa Leseni wadaiwa bilioni 36 kwa kushindwa kulipa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Madini Anthony…

Miradi ya barabara yafikia asilimia 75 Halmashauri ya Manispaa ya Singida – TARURA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Utekelezaji wa miradi ya barabara katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida upo hali nzuri kwa asilimia 75 ya miradi yote inayotekelezwa na Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA). Meneja wa TARURA Mkoa wa…

Sababu za Ziwa Tanganyika kuongezeka kina cha maji hizi hapa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Imeelezwa kuwa uwepo wa shughuli za kibinadamu na uwepo wa majanga ya asili vimetajwa kuwa ni moja ya sababu ya kuongezeka kwa kina cha maji katika Ziwa Tanganyika. Hayo yamebainishwa kupitia mkutano wa mwaka wa…