JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Walioleta mtandao wa Starlink wakamatwa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WATU wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za kuingiza vifaa vya mawasiliano ya intaneti nchini bila kufuata utaratibu wa kisheria vyenye jina la STARLINK KIT/DEVICE….

Naibu Waziri Pinda : Msiwahudumie wananchi kwa hali zao

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Riangwa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda amewataka watendaji wa sekta ya ardhi nchini kuacha kuwahudumia wananchi kwa kuangalia hali zao na badala yake watende haki katika kutoa huduma. Mhe…

Dk Biteko aagiza Wizara ya Maji kuhakikisha wananchi wanapata maji sagi ma salama

📌 Asisitiza Wananchi kutoa maoni utunzaji wa mazingira katika Dira 2050 📌 Ataka Bodi za Mabonde ya Maji/NEMC kudhibiti uchafuzi wa mazingira 📌 Uvunaji wa Maji ya Mvua wasisitizwa ngazi ya Kaya, Taasisi hadi Taifa 📌 Amtaja Rais Dkt. Samia…

Doweicare yatoa msaada wa taulo za kike Muhimbili zenye thamani ya mil 35/-

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hospitali ya Taifa Muhimbili imekabidhiwa msaada wa taulo za watoto wachanga aina ya Softcare zenye thamani ya TZS. 35Mil kutoka kampuni ya DOWEICARE ili kusaidia watoto waliozaliwa na watakaozaliwa Hospitali ya Taifa Muhimbili…

Urusi yafanya mashambulizi makali ya makombora Ukraine

Rais wa Urusi Volodymyr Zelensky amesema Urusi imefanya mashambulizi makali ya usiku kucha kwa kutumia zaidi ya makombora 90 na droni 60 aina ya Shahed zilizotengenezwa na Iran. Rais wa Urusi Volodymyr Zelensky amesema leo kuwa Urusi imefanya mashambulizi makali…

Spika wa Bunge la Afrika Kusini ajisalimisha kwa Polisi

Spika wa bunge la Afrika Kusini amejisalimisha kuwa Polisi huku uchunguzi wa ufisadi ukiendelea dhidi yake. Nosiviwe Mapisa-Nqakula alijisalimisha kwa Polisi ya Kati ya Pretoria leo asubuhi na anatarajiwa kufikishwa mahakamani baadaye mchana, ripoti za vyombo vya habari vya ndani…