JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Mwanafunzi DIT Dar ajirusha ghorofani na kupoteza maisha

Mwanafunzi wa Chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (DIT) ameripotiwa kujirusha jana usiku, majira ya saa tano, katika tukio lililowaacha wanafunzi na uongozi wa chuo wakiwa na mshangao na huzuni kubwa. Taarifa za awali zinaeleza kuwa chanzo cha tukio…

Wananchi wapongeza kasi ya Jeshi la Polisi katika kuwashughulikia wahalifu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Wananchi wa Kata ya Ihumwa Jijini Dodoma wamelipongeza Jeshi la Polisi kwa hatua kali zinazochukuliwa dhidi ya watu wanaofanya uhalifu pamoja na vitendo vya ukatili kwa kuwakamata na kuwafikisha katika vyombo vya sheria kwa wakati. Hayo…

FIFA yathibitisha kuwa Saudi Arabia itaanda Kombe la Dunia 2034

Michuano ya Kombe la Dunia kwa wanaume ya 2034 itafanyika Saudi Arabia, wakati Uhispania, Ureno na Morocco watakuwa wenyeji wa pamoja wa mashindano ya 2030, Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limethibitisha. Mechi tatu katika mashindano ya 2030 pia zitafanyika Argentina,…

Historia nyingine yaandikwa Mradi wa Imeme wa Julius Nyerere (JNHPP)

đź“ŚDkt.Biteko azindua mradi wa usafirishaji umeme (kV 400) Chalinze-Dodoma na upanuzi wa vituo vya umeme Chalinze na Zuzu đź“ŚKuwezesha umeme kutoka JNHPP kufika Kanda mbalimbali za Tanzania, Migodi ,Viwanda, Kusini na Mashariki mwa Afrika đź“ŚAsema Tanzania inaongoza Afrika kwa Usambazaji…

Matukio 7,000 ya ukatili yameripotiwa Pwani -RMO Ukio

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mganga Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Kusirye Ukio, amebainisha kuwa matukio takriban 7,000 ya ukatili yaliripotiwa ndani ya mwaka mmoja mkoani humo. Ukio alitoa taarifa hiyo wakati akizungumza kwenye kikao kilichowajumuisha viongozi wa mkoa, viongozi…