JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Madaraja 19 Ruvuma yasombwa na maji

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea MADARAJA 19 na baadhi ya barabara za maungio zimesombwa na maji mkoani Ruvuma kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Hayo yamesemwa na Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini Tanzania (TARURA) mkoani Ruvuma…

Wizara yapokea muundo unaopendekezwa wa Shirika la Polisi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imepokea muundo unaopendekezwa wa Shirika la Uzalishaji Mali wa Jeshi la Polisi kutoka kwa timu ya Wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakiongozwa na Profesa John…

Tanzania, Kenya zakubaliana kutatua vikwazo vya kibiashara visivyo vya kiushuru

Tanzania na Kenya zimekubaliana kuendelea kutatua vikwazo vya kibiashara visivyo vya kiushuru kwa kuwa na Mpango wa pamoja wa kuwianisha tozo, ada , ushuru, ada na sheria au taratibu zinazoathiri biasharabaina ya pande hizi mbilmasharti mengine yanayoathiri biashara pamoja na…

‘Simiyu ina takwimu kubwa za watu wenye TB’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Mkoa wa Simiyu bado una takwimu kubwa za watu wenye maambukizi ya ugonjwa wa kifua kikuu (TB), ambapo takwimu zinaonyesha watu 3,321 walibainika kuwa na maambukizi mwaka 2023. Akizungumza na waandishi wa habari kuelekea maazimisho…

Aweso : Ufinyu wa bajeti umekwamisha miradi mingi ya maji

Na Mwandisho Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema miradi mingi ya maji ilishindwa kufanikiwa kutokana na ufinyu wa bajeti lakini katika kipindi kifupi cha miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu bajeti ya wizara ya Maji imeongezeka na…

94 wakamatwa Tanga makosa ya uhalifu

Jeshi la Polisi Mkoa Wa Tanga limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 94 kwa makosa mbalimbali ikiwemo uvunjaji ,mauaji,kujeruhi ,kusafirisha wahamiaji haramu ,kuharibu mali pamoja na kupatikana na silaha sita aina ya Gobole. Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi Mkoa wa…