Year: 2024
Chuo Kikuu Marekani champa udaktari wa heshima Dk. Rose Rwakatare
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani MWENYEKITI wa Wazazi Mkoa wa Morogoro (CCM), Dk. Rose Rwakatare ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (PhD) na Chuo Kikuu cha All Nations Christian Church International University kilichopo Texas Marekani (ANCCI) kutokana na mchango wake…
Rais Samia asikia kilio cha wachimbaji wadogo Songwe, leseni 37 zatolewa
Kunufaisha zaidi ya wachimbaji 5000 -Wamshukuru Rais Samia kwa kuwaendeleza wachimbaji wadogo _Waziri Mavunde awataka wachimbaji kuongeza uzalishaji baada ya kupata Leseni Kwa sasa wazalisha madini yenye thamani ya Bilioni 101 kwa miezi nane(8) Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Songwe Serikali ya…
Mbarawa awataka Watanzania kufuatilia kwa karibu utabiri wa hali ya hewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amewataka Watanzania kuendelea kufuatilia kwa karibu taarifa zinazotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kuwa taarifa zinazotolewa mamlaka hiyo inatoa taarifa zenye uhakika ili…
Bilionea Sabodo afariki dunia
Bilionea maarufu nchini, Mustafa Jaffer Sabodo amefariki Dunia leo alfajiri akiwa nyumbani kwakwe, Masaki jijini Dar es Salaam, mtoto wa marehemu, Danstan ameiambia Daily News Digital. “Mzee amefariki leo alfajiri akiwa nyumbani. Taratibu za mazishi zinaendelea na atazikwa katika makaburi…
TEMESA yaagizwa kuboresha huduma za vivuko
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mafia Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kuhakikishia anasimamia masuala ya usalama katika vivuko vyote nchini ili viweze kutoa huduma bora pamoja na kulinda usalama…