JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Waliofanya uhalifu wa kupora pikipiki wakamatwa Arusha

Na Abel Paul, Jeshi la Polisi, Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linamshikiria mtuhumiwa aliyeonekana katika video ambayo ilisamba katika mitaandao ya Kijamii na kupora vitu kwa mwananchi mmoja huko maneo ya Burka kisongo Jijini Arusha. Akitoa taarifa…

Utafiti: Watanzania waunga mkono mikakati ya kupunguza uzalishaji wa Methane

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Watanzania wameonekana kuunga mkono kwa kiasi kikubwa mipango inayolenga kupunguza uzalishaji wa gesi ya methane na kushughulikia mabadiliko ya hali ya hewa. Hii ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Global Methane Hub, shirika la kibinadamu…

Al Ahly kwetu kama kwao, wawafunga Simba kwa Mkapa

Na isri Mohamed DAKIKA 90 za mtanange wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba vs AL Ahly ya Misri zimemalizika kwa mnyama kukubali kichapo cha bao moja kwa Nunge lililofungwa kipindi cha kwanza. Kocha mkuu wa Simba, Abdelhak Benchika…

Mashabiki wawili wa Simba wafariki, watatu wajeruhiwa Vigwaza

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Watu wawili wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari mawili kugongana Machi 29 ,asubuhi huko Vigwaza Mizani, Wilaya ya kipolisi Chalinze, Mkoa wa Pwani. Kamanda wa Polisi mkoani Pwani Pius Lutumo, amethibitisha…

11 wahukumiwa kwa kujipatia fedha mtandaoni kwa njia ya udanganyifu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu watu 11 ambao ni wakazi wa Ifakara, mkoani Morogoro kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini ya Sh. Milioni 6 kwa kila mmoja baada ya kupatikana…