JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Taifa Gas yajidhatiti kufikisha huduma ya gesi kwa gharama nafuu

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati serikali ikiendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Taifa Gas Tanzania Limited imesema imejidhatiti kuweza kufikisha huduma ya gesi nchi nzima kwa gharama nafuu. Hayo yamebainishwa jijini Dar es…

Polisi kuimarisha usalama uzinduzi wa mbio za mwenge Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Jeshi la Polisi-Kilimanjaro Jeshi la Polisi nchini limesema limejipanga vyema kuimarisha uzinduzi wa mbio za Mwenge ambazo zinazonduliwa Aprili 2,2024 mkoani Kilimanjaro. Hayo yamebainishwa na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi CP Awadhi…

Wanaotorosha korosho kwenda nje ya nchi waonywa siku zao zinahesabika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, BODI ya Korosho Tanzania mkoani Tanga imewaonya wakulima wenye tabia za kutorosha Korosho kwenda kuuza nje ya nchi kuacha mara moja kufanya hivyo kwani siku zao zinahesabika kutokana na vyombo vya dola vinawatambua na watapokamatwa watashughulikiwa…

Spika, Ridhiwani wawajulia hali majeruhi, watoa mkono wa pole kwa mashabiki Simba

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia. Pwani Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) ambae pia ni Spika wa Bunge na Mbunge wa Mbeya Mjini ,Dkt.Tulia Ackson ameambatana na Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete kuwapa pole mashabiki wa Simba waliopata…