JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Nchimbi amjulia hali mzee Yusuf Makamba

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amemtembelea kumjulia hali mmoja wa Makatibu Wakuu Wastaafu wa CCM, Mzee Yusuf Makamba, Jumatatu, Aprili 1, 2024, nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Akimpongeza kwa kuteuliwa kushika nafasi…

Baada ya ukaguzi Kidatu Dk Biteko atua kituo cha kupoza umeme cha Zuzu Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Baada ya ukaguzi wa matengenezo ya mitambo ya umeme Kidatu mkoani Morogoro leo tarehe 1 Aprili, 2024 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko ametembelea na kukagua Kituo cha kupoza umeme cha…

Mwalimu,mwanafunzi washambuliwa na kuuawa wakiwa nyumbani kwao Mbeya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya MWALIMU wa Shule ya Msingi Mbugani Wilayani Chunya aitwaye,Herieth Lupembe (37) na mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Isenyela, Ivin Tatizo (15) wameuwawa na vitu butu kichwani wakiwa nyumbani kwao Kijiji cha…

Naibu Waziri Mkuu akagua matengenezo ya mashine za kufua umeme Kidatu

📌Ni kufuatia hitilafu ya umeme kwenye mfumo wa Gridi 📌Aigaza TANESCO kutafuta mwarobaini wa tatizo la kufeli kwa Gridi mara kwa mara 📌Awataka kufanya ukarabati wa vituo vya kufua umeme, ili kuvipa ufanisi 📌Awatahadharisha juu ya uwepo wa mvua nyingi…

Tanzania, Burundi zasaini hati za makubaliano ya ushirikiano sekta ya madini

Bujumbura, Burundi Mawaziri wa Sekta ya Madini wa Burundi Mh. Eng. Ibrahim Uwizeye na Tanzania Mh. Anthony Mavunde leo wamesaini hati ya makubaliano ya kushirikiana kwenye sekta ya madini ili kukuza mchango wa sekta hii katika uchumi wa nchi mbili…