Year: 2024
Ofisi ya Mganga Mkuu Dar, USAID Afya Yangu, Mama na Mtoto yawanoa kina mama 50
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam OFISI ya Mganga Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam kwa kushirikiana na USAID Afya Yangu, Mama na Mtoto wametoa mafunzo kwa akina mama 50 kutoka Wilaya nne za Mkoa huo. Wilaya hizo ni…
Amir Jeshi Mkuu Rais Dk Samia akizindua kitabu cha miaka 60 ya JWTZ
Mtukio mbalimbali wakati wa kilele cha Maadhimisho ya kutimiza miaka 60 kwa Jeshi hilo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam tarehe 01 Septemba, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia…
Polisi wanawake Tanzania washiriki mafunzo Marekani
CHICAGO MAREKANI Katika Picha ni washiriki wa Mkutano wa Mafunzo ya Shirikisho la Askari wa kike na wasimamizi wa sheria wakifuatilia ufunguzi wa mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo wa kiutendaji shirikisho hilo Leo Septemba 01,2024 Katika Jiji la Chicago Nchini Marekani
Rais Samia kushiriki mkutano FOCAC
Rais Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajia kuhudhuria mkutano wa kilele na wakuu wa nchi na Serikali na Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) wenye lengo la kushirikiana katika kuimarisha uchumi utakaofanyika Septemba 4 hadi 6 nchini China. Hayo…