Year: 2024
17 mbaroni kwa ulawiti na mauaji Mtwara
WATU 17 wametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara kwa tuhuma za kujihusisha na makosa mbalimbali mkoani humo. Akizungumza leo mkoani Mtwara, Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara Issa Suleiman – SACP amesema watuhumiwa hao wamekamatwa…
Somalia Ethiopia kumaliza mivutano ya kikanda
Serikali ya Marekani imepongeza hatua ya makubaliano yaliyofikiwa na Somalia na Ethiopia ya kumaliza mivutano ya kikanda, iliyochochewa na shinikizo la Ethiopia la ufikiaji salama wa baharini. Katika taarifa maalum iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony…
DC Iringa aona mwanga Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia
Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Iringa MKUU wa wilaya ya Iringa, Herry James, amesema kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia itasaidia kuondoa migogoro iliyopo ya uelewa mdogo wa haki za binadamu, mila na desturi kandamizi, vitendo vya ukatili wa…
TMA: Kuna uwepo wa Kimbunga ‘CHIDO’ Bahari ya Hindi Kaskazini mwa Madagascar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga ‘CHIDO’ katika Bahari ya Hindi kaskazini mwa Kisiwa cha Madagascar. Taarifa iliyotolewa jana na Mamlaka hiyo,imesema mifumo ya hali ya…
Mamilioni ya pesa yawapeleka Japan Misenyi mkoani Kagera
Na Egbart Rwegasira, JamhuriMedia, Kagera Ubalozi wa Japan nchini Tanzania kupitia naibu mkuu wa ujumbe wa Japan nchini Tanzania Bw. Shoich Ueda mapema Desemba 11, 2024 uliwasili Wilaya Misseny mkoani Kagera kwa lengo la kuzindua na kukabidhi bweni kubwa la…
Utekelezaji MoU Tanzania na Burundi waanza rasmi
*Ni kubadilishana uzoefu katika Utafiti wa kina katika madini *Ni wa Uongezaji thamani madini *Na Usimamizi wa Sheria na taratibu za biashara ya madini Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Itakumbukwa kwamba mwezi machi 30, 2024 jijini Bujumbura nchini Burundi, Waziri…