JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Shughuli za kibinadamu kwenye shoroba chanzo cha migongano

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Bagamoyo Imeelezwa kuwa kati ya vyanzo vinavyochangia migongano kati ya binadamu na wanyamapori ni kufanyika kwa shughuli za kibinadamu kama kilimo na ufugaji kwenye mapito ya wanyamapori. Hayo yamebainishwa leo Septemba 5, 2024 na Ofisa Mhifadhi…

Papa na imamu mkuu wa Indonesia watoa wito wa pamoja wa amani

Papa Francis ameonya dhidi ya kutumia dini kuchochea migogoro katika siku yake ya mwisho ya ziara yake nchini Indonesia, sehemu ya kwanza aliofika katika ziara yake ya kuzunguka eneo la Asia Pacific. Katika msikiti wa Istiqlal katika mji mkuu wa…

Wafariki kwa mganga wakitafuta dawa ya biashara, wazikwa kwa siri

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia Wafanyabiashara wawili Raymond Hyera (25) na Riziki Mohamed (30) wamefariki dunia wakiwa kwa mganga wa tiba za asili, Mtila Ausi maarufu Shehe Mtila, baada ya kupewa maji ya kuwawezesha biashara zao kufanya vizuri. Baada ya kunywa…

Rowen William achaguliwa kuwania Ballon D’or

Na Isri Mohamed Golikipa wa Mamelod Sundowns, Ronwen Williams amechaguliwa kuwania tuzo kubwa za mpira duniani ‘Ballon D’or’ katika kipengele cha magolikipa kumi bora duniani ”YashinTrophy’ Katika kipengele hicho, Williams anashindanishwa na na Diogo Costa (FC Porto), Gianluigi Donnarumma (Paris…

Mwanafunzi wa miaka 14 awaua wenzake kwa bunduki Marekani

Watu wanne wameuawa baada ya mwanafunzi mwenye umri wa miaka 14 kufyatua risasi katika shule ya sekondari huko Gerogia nchini Marekani.Waliouawa wametambulika kuwa ni wanafunzi wawili na walimu wawili. Watu wanne wameuawa baada ya mwanafunzi mwenye umri wa miaka 14…