JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Makonda: Arusha mmenipokea vizuri sana ila tutageukana muda si mrefu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka watumishi wa umma kutimiza wajibu wao na kusisitiza kuwa hatokuwa tayari kuvumilia uzembe kwa mtumishi yeyote bila kujali yeye ni nani. “Arusha mmenipokea vizuri sana ila tutageukana…

Dk Biteko mgeni rasmi mdahalo wa kumbukizi miaka 40 ya hayati Sokoine

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo tarehe 8 Aprili, 2024 anashiriki katika Mdahalo wa Kitaifa wa Kumbukizi ya Miaka 40 ya Hayati Edward Sokoine unaofanyika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kilichopo mkoani Morogoro….

Matukio Waziri Mkuu akiwa bungeni

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akifurahia jambo na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Stergomena Tax, Bungeni jijini Dodoma Aprili 08, 2024. ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Geita Joseph Musukuma, Bungeni jijini Dodoma…

Kupatwa kwa jua leo Aprili 8, 2024, TMA yatoa elimu

Hali ya kupatwa kwa Jua ni tukio linalohusisha kivuli cha mwezi kuangukia juu ya uso wa Dunia ambapo katika maeneo yaliyo ndani ya kivuli hicho Jua huonekana likifunikwa na Mwezi kwa kipindi cha saa chache. Kwa mujibu wa taarifa ya…

Waitahadharisha Serikali harufu ya upigaji migodini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mirerani Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameshauriwa na wamiliki wa migodi ya madini ya Tanzanite kuwa macho dhidi ya wataalamu waangalizi wa serikali maarufu ’jicho la serikali’. Imeripotiwa kutoka kwa wamiliki hao kuwa wataalam hao wako kwa…

Watu 90 wafa maji Msumbiji

ZAIDI ya watu 90 wamefariki dunia baada ya boti yao kupinduka Mamlaka nchini humo zilisema wasafiri hao walikuwa wakikimbia mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu na walikuwa wakitoka Lunga kuelekea Kisiwa cha Msumbiji, kando kidogo ya pwani ya Nampula. Kwa mujibu…