JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Waziri Mkuu azindua Nembo ya Muungano, ataka wapiga kura kujiridhisha na wapenda Muungano

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa amezindua Nembo na Kauli mbiu kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 60 ya muungano huku akiagiza kuelekea uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa mwaka 2024, wapiga…

Dk Biteko ataka Watanzania kumuenzi Sokoine kwa kufanyakazi

📌Hayati Sokoine alikuwa mstari wa mbele kukemea rushwa na ufisadi 📌Anakumbukwa kama kiongozi aliyepigania maendeleo ya taifa. 📌Dkt. Biteko asisitiza Sekta ya Kilimo iwe kimbilio Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, Watanzania wanapaswa…

Mafuriko Rufiji,Kibiti ACT Wazalendo watoa ushauri kwa Serikali

Na Magrethy Katengu,Jamhuri Media, Dar es Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimemwomba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kujionea hali halisi Rufiji na Kibiti waliokumbwa na janga la mafuriko huku malighafi zao zikiharibika ikiwemo makazi na mashamba yao. Ombi hilo amelito leo…

Walipa kodi Tabora waunga mkono juhudi za Rais Samia

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Tabora imeeleza kupata mafanikio makubwa katika kipindi cha miaka 3 ya utawala wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kutokana na mwitikio mzuri wa wananchi kulipa kodi. Hayo yamebainishwa na…

Makonda: Arusha mmenipokea vizuri sana ila tutageukana muda si mrefu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka watumishi wa umma kutimiza wajibu wao na kusisitiza kuwa hatokuwa tayari kuvumilia uzembe kwa mtumishi yeyote bila kujali yeye ni nani. “Arusha mmenipokea vizuri sana ila tutageukana…

Dk Biteko mgeni rasmi mdahalo wa kumbukizi miaka 40 ya hayati Sokoine

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo tarehe 8 Aprili, 2024 anashiriki katika Mdahalo wa Kitaifa wa Kumbukizi ya Miaka 40 ya Hayati Edward Sokoine unaofanyika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kilichopo mkoani Morogoro….