JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Uboreshaji bandari ya Mtwara walibeba zao la korosho kimataifa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Maboresho yaliyofanywa na Mamlaka ya Bandari (TPA) katika bandari ya Mtwara yamevutia meli nyingi za kigeni katika usafirishaji wa korosho kwenda katika masoko ya kimataifa na kuufanya msimu wa 2024/2025 wa zao hilo la biashara…

Filamu ya ‘Tantalizing Tanzania’ yazinduliwa india

FILAMU ya kutangaza vivutio vya utalii vya nchini Tanzania ijulikanayo “Tantalizing Tanzania” inayomhusisha mwanamuziki wa India Shakti Mohan aliyepiga picha mjongeo katika hifadhi za Serengeti, Ngorongoro na Zanzibar imezinduliwa nchini India. Filamu hiyo iliyoandaliwa na Kampuni ya Swahili iliyopo Mumbai…

Mbunge Byabayo awafariji watoto yatima 200 kupitia Tamasha la Bukoba Mjini Mpya Festival 2024

Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini, Wakili Stephen Byabato, kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, wamewakutanisha watoto yatima 200 wanaoishi katika vituo vya watoto yatima Manispaa ya Bukoba. Lengo kuu ikiwa ni kuwapa faraja kwa kuwapa mahitaji muhimu ya shule, vyakula…

Mwafaunzi wa Chuo cha RUCU aliyebakwa hadi kufa azikwa

Mwili wa Rachel Mkumbwa umezikwa katika kijiji cha Isongole kilichopo Wilaya ya Ileje mkoani Songwe, baada ya kudaiwa kubakwa na kuuawa mkoani Iringa. Rachel alikuwa akisoma mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Ruaha (Rucu) mkoani Iringa, alikutwa amefariki dunia…

Serikali kushirikisha vijana kupamba na uhalifu, Bashungwa atoa onyo kaki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema Wizara kupitia vyombo vya usalama na taasisi nyingine za Serikali zitashirikiana na Vijana ili kupata suluhu kwa baadhi ya changamoto zilizopo na zinazoendelea kujitokeza katika…

Serikali yabainisha mikakati ya kurejesha hadhi ya madini ya Tanzanite

-Waziri Mavunde azindua mnada wa ndani Mirerani leo. -Madini yote yatakayokosa wanunuzi kurejeshwa kwa wahusika -Wadau waonesha nia ya kujenga Mji wa Kimadini Mirerani Na Mwandishi Wetu, JakmhuriMedia, Manyara Waziri wa Madini Mheshimiwa Anthony Mavunde amesema Serikali imejidhatiti kurudisha hadhi…