JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Mchengerwa: DART fanyeni mchakato haraka kuondoa adha ya usafiri

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia,Dar es Salaam Waziri Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi Mohamed Mchengerwa amewataka Watendaji wa mabasi yaendayo haraka DART kuhakikisha wanafanya mchakato wa haraka kupunguza changamoto ya usafiri inayosababishwa na uhaba wa mabasi hayo . Agizo…

Madagascar yaridhia atakayebaka watoto ahasiwe

Serikali ya Madagascar imeidhinisha sheria ya kuhasiwa kwa atakayekutwa na hatia ya ubakaji dhidi ya watoto. Ni sheria ambayo imezua minongono na mabishano ndani ya Bunge la nchi hiyo. Mwezi wa pili ndipo bunge la Seneti la Madagascar lilipoipitisha sheria…

Ligi ya Kihenzile Cup yazinduliwa

Mbuge wa Jimbo la Mufundi Kusini na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile kwa kushirikiana na Taasisi ya Kihenzile Foundations amezindua Ligi ya Kihenzile Cup yenye lengo la kuhamasisha vijana kushiriki katika michezo sambamba na kutoa elimu ya kupiga kura…