JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Nchi za SADC zampongeza Rais Samia kwa maono yake katika usimamizi wa misitu ya miombo

Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Southern African Development Community-SADC) zimempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maono yake katika usimamizi na uhifadhi wa misitu miombo hasa katika kuhama…

CBE yaahidi kuendelea kuisaidia shule ya Jangwani

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na viti mwendo kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum wa shule ya sekondari ya Jangwani jijini Dar es Salaam. Msaada huo ulikabidhiwa jana shuleni hapo na Mkurugenzi wa Taaluma wa CBE, Dk….

Watoto na vijana balehe wanaongoza kwa utumiaji wa simu za mkononi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia Mei 15 ,2024 taarifa ya hali ya Ukatili wa Watoto Mtandaoni (Disrupting Harm Report in Tanzania 2022) ya utafiti wa Serikali na UNICEF inaonesha katika nchi zote…

Mgodi wa Magambazi kuzalisha kilo 25 za dhahabu kwa mwezi ifikapo Agosti 2024

Unamilikiwa na Watanzania kwa asilimia 100 Utafiti umebaini uwepo wa mashapo ya dhahabu kiasi cha tani 21.7 Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Tanga Kampuni ya PMM Tanzania Limited inayomiliki mgodi wa Magambazi imeanza shughuli za uzalishaji madini ya dhahabu ambapo kuanzia…

Jamii yakumbushwa umuhimu wa malezi bora ya familia

Na WMJJWM, Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jonsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameiasa jamii kuona umuhimu wa malezi bora kwa watoto ndani ya familia kama chanzo cha jamii. Ametoa wosia huo Aprili 18, 2024 jijini…