JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Israel Mwenda : Kwa kifupi sina timu

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam ALIYEKUWA beki wa Simba msimu uliopita, Israel Patrick Mwenda, ambaye msimu huu amesajiliwa na klabu ya Singida Black Stars ameibuka na kudai kuwa kwa sasa hana timu licha ya kudaiwa kupokea ada ya…

Uingereza yasitisha baadhi ya mauzo ya silaha kwa Israel

Uingereza imesitisha baadhi ya mauzo ya silaha kwa Israel, ikisema kuna “hatari ya wazi” vifaa hivyo vinaweza kutumika kufanya ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa. Waziri wa Mambo ya Nje David Lammy alisema Uingereza itasimamisha leseni 30 kati ya 350…

DRC: Watu 129 wameuawa katika jaribio la kutoroka gerezani

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imesema kuwa takribani watu 129 waliuawa walipokuwa wakijaribu kutoroka katika gereza kuu la Makala katika mji mkuu Kinshasa siku ya Jumapili jioni, na kuongeza kuwa hali sasa imedhibitiwa, Shirika la habari la Reuters…

Dhambi ya kuiua Ngorongoro

Na Manyerere Jackton, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kwa miaka kadhaa nimeandika mengi kuhusu uhifadhi, hasa eneo la Ngorongoro ambako kuna Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA), na Pori la Akiba Pololeti (Loliondo). Mambo yanayoendelea katika eneo hili yanahitaji…

Mafanikio ya kiuchumi Indonesia yaihamasisha Tanzania kujifunza

Na Mwandishi Maalum Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,. Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema mageuzi ya kiuchumi ya Indonesia katika sekta mbalimbali kama vile uchimbaji wa mafuta na gesi, kilimo na viwanda vimeiwezesha nchi hiyo kuwa nafasi…

Law School itafsiri mabadiliko kama kengele

Na Deodatus Balile ,JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limefanya marekebisho katika sheria mbalimbali, ikiwamo Sheria ya Shule ya Sheria Sura ya 425. Yamefanyika mabadiliko kadhaa katika sheria hiyo, ila yaliyoigusa jamii ni…