JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Dk Gwajima afungua mkutano wa 21 wa MEWATA, asisitiza umuhimu kuongez kasi kujenga msingi ya afya ya watoto

Rais wa Chama cha Madaktari Wanawake Tanzania (MEWATA) Dkt. Zaituni Bokhary akizungumza jambo katika mkutano mkuu wa 21 wa chama hicho uliofanyika leo Aprili 21, 2024 katika Hotel ya New Afrika, Dar es Salaam.

Tanzania yaishauri Benki ya Dunia kuweka vipaumbele katika miradi ya maendeleo ya Afrika

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba (katikati) na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Juma Malik Akil (kulia), wakifuatilia Mkutano wa Mawaziri wa Fedha na Magavana wa Kundi la Kwanza la Nchi za…

Waziri Jafo asisitiza upandaji miti taasisi za elimu

na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo amezitaka taasisi za elimu nchini kuongeza kasi ya upandaji miti kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Dkt. Jafo ametoa wito…

Naibu Waziri Katambi afungua michezo ya Mei Mosi Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe Patrobas Katambi amefungua rasmi michezo ya Mei Mosi na kueleza umuhimu wa michezo hiyo katika kuimarisha afya za wafanyakazi. “Michezo ni…

Msajili wa Hazina azungumza na Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Perseus

Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, Aprili 20, 2024 amefanya mazungumzo na ujumbe kutoka Kampuni ya uchimbaji Madini ya Perseus ya nchini Australia iliyowakilishwa na Afisa Mtendaji Mkuu, Jeff Quartermaine pamoja na Afisa Fedha Mkuu wa kampuni…