JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

CHAUMA, wakulima wa mbaazi wamuangukia Rais Samia

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Zaidi ya wakulima 1000 wa zao la Mbaazi wa wilaya za Chemba na Kondoa Mkoani hapa wameiomba Serikali kuona haja ya kuutazama upya mfumo wa stakabadhi ghalani kwani unakiuka malengo ya kumkomboa mkulima na badala yake umekuwa…

ISOC-TZ yawajengea uwezo vijana katika usimamizi wa mitandao

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Internet Society Tanzania Chapter(ISOC-TZ) kupitia jukwaa la usimamizi wa mtandao Tanzania Internet Governance Forum(TzIGF) imeendesha mafunzo kwa vijana kuwajengea uwezo katika masuala ya usimamizi wa mitandao. Akizungumza katika Mafunzo hayo yaliyofanyika…

Ubelgiji yaunga mono agenda ya nishati safi – Dk Biteko

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Ubelgiji imesema inaunga mkono kampeni ya Nishati Safi ya kupikia na hivyo imeonesha  nia ya kushirikiana na Tanzania katika matumizi ya nishati hiyo kwa maendeleo ya Bara zima la Afrika iliyoasisiwa…

Wapiga kura wapya 491,050 kuandikishwa Mara, Simiyu na Manyara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara UBORESHAJI wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Mara, Simiyu na baadhi ya halmashauri za Mkoa wa Manyara utafanyika kwa siku saba kuanzia kesho tarehe 04 hadi 10 Septemba, 2024 ambapo jumla ya wapiga…

Azam FC wamtimua kocha Dabo na wasaidizi wake

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KLABU ya Azam FC leo Septemba 03, imetangaza kuwafungashia virago Kocha wao Mkuu, Youssouph Dabo na wasaidizi wake wa benchi la ufundi aliokuja nao kufuatia matokeo mabaya ya timu. Azam FC chini ya…