JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Kalleiya ahimiza kuunda kamati za uchuni kata,matawi kujiimarisha kiuchumi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Katibu wa CCM Wilaya Kibaha Mjini , mkoani Pwani, Issack Kalleiya amehimiza kuunda kamati za uchumi kila kata na matawi pamoja na kuanzisha vitenga uchumi ili kukiimarisha kiuchumi. Wito huo aliutoa alipokuwa kata ya Kongowe…

Mashirika mchwa, 17 yatumia bilioni 72.36 kwa matumizi yasiyo na tija

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amezidi kuripoti madudu yaleyale yanayotokea katika mashirika ya umma. Kupitia Ripoti Kuu ya Ukaguzi wa Mashirika ya Umma kwa Mwaka wa Fedha wa 2022/2023, Kichere,…

Kikokotoo jinamizi jipya kwa wastaafu

*TUCTA wasema watarudi katika meza ya mazungumzo Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kanuni mpya ya kikokotoo ni kama jinamizi jipya lililoanza kuogopwa na wastaafu. Hofu ya wastaafu kuumizwa na kanuni hiyo inakuja siku chache baada ya Waziri Mkuu,…

Wadau wa uongezaji thamani madini waitikia wito wa Serikali kuwekeza kwenye viwanda nchini

Waziri Mavunde akutana na Kampuni ya MAST na AKMENITE Viwanda vya Uchenjuaji madini kujengwa Ruvuma, Dodoma, Katavi na Lindi Ujenzi wa viwanda kuanza mapema mwaka huu Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amekutana na kufanya mazungumzo wadau wa Sekta ya…

RC Chalamila : Dar iko salama, barabara zote zitafanyiwa ukarabati

-Awatoa hofu wananchi kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo April 23, 2024 ametembelea na kukagua maeneo yaliyoathirika na mvua katika Wilaya ya Kigamboni Jijini Dar es Salaam. Akiwa katika ziara hiyo…

Dk Mwinyi : Tumevuka lengo la ilani katika barabara

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 imeelekeza kujenga kilomita 200 za barabara hadi sasa Serikali imejenga kilomita 800 kwa kuvuka malengo ya ilani hiyo. Rais Dk.Mwinyi…