JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Somalia kushirikiana kwa karibu na MSD

Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amesema nchi yake imeamua kushirikiana kwa karibu na Bohari ya Dawa ya Tanzania katika ununuzi wa bidhaa za afya na kubadilishana uzoefu wa namna mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya unavyofanya kazi. Rais…

Majaliwa kushuhudia utiaji saini mikataba 20 ya miradi ya umwagiliaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika utiaji saini mikataba 20 ya ukarabati na ujenzi wa miradi ya umwagiliaji baina ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji chini ya Wizara ya Kilimo na Wakandarasi…

Mwenge wa Uhuru kupitia miradi 126 yenye thamani ya trilioni 8.536 Pwani – Kunenge

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze MWENGE wa Uhuru Kitaifa umeingia Mkoa wa Pwani ukitokea Mkoa wa Morogoro ambapo utakagua, kuweka jiwe la msingi na kutembelea miradi 126 yenye thamani ya trilioni 8.536 . Kati ya miradi hiyo 18 itawekwa mawe…