JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Makalla : CCM hatubebwi tumejipanga

Chama Cha Mapinduzi (CCM)kimesema kitaendelea kushinda chaguzi zake kwa haki na sio kwa kubebwa. Akizungumza katika mkutano maalum na viongozi wa CCM mkoani Arusha, Katibu wa Halmashauri Kuu CCM Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema kuwa…

RC Chalamila apokea majina ya wafanyabiashara wa soko la Kariakoo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Septemba 04,2024 amepokea taarifa ya kamati aliyoiunda kupitia orodha ya majina ya wafanyabiashara wa soko la Kariakoo katika ukumbi wa mikutano Arnatoglo Mnazi…

Serikali kuendelea kutenga fedha za kukarabati barabara korofi nchini

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Zainab Katimba amesema Serikali itaendelea kutenga fedha ya ukarabati wa barabara korofi nchini zilizoathiriwa na Mvua za El – Nino ili kurahisisha huduma bora kwa Wananchi. Katimba amesema…

Majaliwa : Tanzania kujiimarisha zaidi kidiplomasia

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kujiimarisha kidiplomasia na itaongeza nguvu zaidi ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata fursa mbalimbali katika jumuia za kimataifa. Amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanikisha kuimarisha…

Tanzania kinara wa uwekezaji mkubwa wa madini kwa kampuni kutoka Australia

Na Mwandishi Wetu TANZANIA imetajwa kuwa nchi kinara kwa Bara la Afrika ambayo kampuni za Madini za Australia zimewekeza kwa asilimia 21 ya uwekezaji wote wa kwenye Sekta ya Madini. Hayo yameelezwa leo Perth, Australia wakati wa mkutano wa Africa…

Wenye ulemavu wapewa nafasi kugombea na kushiriki uchaguzi 2024/2025

Na Mwamvua Mwinyi, Jamhurimedia, Pwani Umoja wa Amani Kwanza Mkoani Pwani, umetoa rai ya Ushirikishwaji wa Watu Wenye Ulemavu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kwani ni haki Yao ya msingi. Katika mkutano uliofanyika Kibaha, Umoja huo umetoa wito kwa…