JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Uturuki ni fursa miaka 60 ya Uhuru Tanzania

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia Aprili 17 hadi 21, 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, alifanya ziara rasmi ya kiserikali nchini Uturuki. Wiki iliyopita niliandika kuhusu ukubwa wa uchumi wa nchi ya Uturuki, mapinduzi makubwa…

NEMC yapiga kambi kanda ya ziwa kuelimisha matumizi ya zebaki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kushirikiana na ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali wameanza kampeni uya kutoa elimu kuhusu matumizi sahihi ya zebaki kwa migodi ya dhahabu kanda ya…

Serikali iliyoibadili sura mpya bandari ya Tanga kwa bilioni 400, msamaha wa tozo wawavutia wateja

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Tanga “Uboreshwaji mkubwa uliofanywa na Serikali kwa kuwekeza Bilioni 400 umeleta mapinduzi makubwa katika bandari ya Tanga ambapo hadi sasa umehudumia meli 29 zilizobeba tani 221, 440 na kuibadili bandari ya mkakati. “Pia uwekezaji huo umeibadili…

Zaidi ya watu 140 wafariki kwa radi, dhoruba Pakistan

Zaidi ya watu 140 wamefariki dunia nchini Pakistan baada ya kupigwa na radi na matukio mengine yanayohusishwa na dhoruba katika mwezi huu wa Aprili, huku taifa hilo likishuhudia mvua kubwa kabisa. Pakistan imekumbwa na mafuriko makubwa, maporomoko ya ardhi na…

Chama cha Waandishi wa habari za Mazingira watembelea Makuyuni Wildlife Park

Chama Cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) leo April 30, 2024 wametembelea Makuyuni Wildlife Park iliyopo wilaya ya Monduli katika mkoa wa Arusha kwa lengo la kujifunza Uhifadhi wa wanyamapori na kujionea shughuli za Utalii. Ziara hii ya…

Bashungwa awaondoa watendaji Kivuko cha Magogoni – Kigamboni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewaondoa watendaji wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wanaosimamia usafiri wa kivuko kati ya Magogoni – Kigamboni na kuagiza kupangiwa kazi nyingine kwa kushindwa kusimamia kikamilifu huduma…