JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Miradi 15 yenye thamani ya bilioni 3.1 kupitiwa na mwenge wa uhuru, 2024 Kibaha Mji

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Jumla ya Miradi 15 yenye thamani ya bilioni 3,120,194,399.98 inatarajiwa kupitiwa na Mwenge wa Uhuru kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha utakapokimbizwa siku ya Alhamisi tarehe 2 Mei,2024 Mwenyekiti wa Sherehe za Mwenge Wilaya ya Kibaha…

LPG yapongeza Serikali kwa juhudi ya kugawa mitungi ya gesi kwa wananchi

Na Magrethy Katengu, JamuhuriMediaDar es Salaam Chama Wafanyabiashara Waagizani na Wasambazaji wa gesi ya kupikia Majumbani LPG kimeipongeza Serikali kwa juhudi wanayoifanya kugawa mitungi ya gesi kwa wananchi wake wenye kipato cha chini ikiwemo mama na baba lishe, ili kusaidia…

Masauni,IGP Wambura waahidi uchaguzi huru na haki Serikali za Mitaa, Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Jamuhuri Media Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaahidi Watanzania kuwepo kwa uchaguzi huru na haki ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu pamoja na Uchaguzi Mkuu mwakani huku ikisisitiza kila mtu…

DC Tarime ampa tano mbunge Tarime Vijijini Waitara kwa ubunifu

Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Tarime Mkuu wa Wilaya Tarime, Kanali Maulidi Hassan Surumbu amempongeza Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini Mwita Waitara kwa kubuni semina ya maendeleo ya matokeo ya sensa 2022 ambayo ilishirikisha watu zaidi ya 1600 kutoka makundi…

Wafanyakazi Nishati katika kilele cha Mei Mosi Dodoma

Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati wameshiriki maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani tarehe 01 Mei, 2024. Maandamano hayo yalianzia katika viwanja vya Bunge na kuhitimishwa katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. Maadhimisho hayo maarufu kama Mei Mosi kwa…

Aua mke kwa shoka na kumzika porini

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora MKAZI wa kijiji cha Nzigala kata ya Kigwa, Wilayani Uyui Mkoani Tabora Bi.Kaluba Emmanuel (27) ameuawa kwa kukatwa na shoka na mume wake kwa kumtuhumu kuwa ana mahusiano na mwanaume mwingine. Kamanda wa Polisi Mkoani…