JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Kimbunga Hidaya chazidi kusogea Tanzania, Serikali yatoa tahadhari

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia Waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu, sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama amewataka wananchi wote wanaojihusisha na shughuli mbalimbali baharini kuchukua tahadhari kubw kutokana na kimbunga Hidaya ambacho tayari kimeshaingia Mashariki kwa Pwani ya Tanzania….

TMA: Kimbunga Hidaya kuathiri mifumo ya hali ya hewa nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa ya mwenendo wa kimbunga “HIDAYA” kilichopo katika Bahari ya Hindi mashariki mwa pwani ya nchi yetu. Kimbunga “HIDAYA” kimeendelea kuimarika na kusogea kuelekea…

Waziri Ummy atangaza Tanzania kuwa kitovu cha utalii tiba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imesema imedhamiria kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi katika Bara la Afrika na kuwa nchi ya kutembelewa kwa ajili ya utalii tiba kutokana na uboreshanji wa miundombinu…

Rais Samia atoa bil.5/- kurejesha miundombinu ya barabara, madaraja Lindi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Mvua kubwa za El-Nino zilizonyesha zimeleta athari maeneo mbalimbali hapa Nchini ikiwemo katika Mkoa wa Lindi ambapo zimesababisha uharifu mkubwa wa miundombinu ya barabara na madaraja. Mvua hizo katika baadhi ya maeneo zilikwamisha shughuli za…

Mahakama yaelezwa Nathwani alivyotoa lugha za matusi kwa Kihindi na kumjeruhi jirani yake

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Dar es Salaam MSIMAMIZI wa Msikiti wa Wahindi Lohana, Ankit Dawda (32) ameileza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jinsi wanandoa Bharat Nathwan (57) na Sangita Bharat (54) walivyomshambulia jirani yao Lalit Ratilal na…

Madaktari 1,109 kunufaika na ufadhili wa Rais Samia masomo ya ubingwa bobezi 2023/24

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Dkt. Samia Super-Specialized scholarship Programme imetoa nafasi za ufadhili wa masomo ya ubingwa na ubingwa bobezi ambapo kwa mwaka wa masomo 2023/2024, jumla ya Shilingi 10.9 bilioni zimetengwa na kuwawezesha wanafunzi 1,109 kwenye…