JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Mawasiliano ya barabara ya Dar – Lindi kurejea ndani ya saa 72 – Bashungwa

na Mwandishi Wetu, JakhuroMedia, Lindi Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameeleza kuwa timu ya watalaamu wa Wakala ya Barabara (TANROADS) na Makandarasi itatumia saa 72 (siku 3) kukamilisha zoezi la kurejesha miundombinu ya barabara ya Lindi – Dar es Salaam,…

NECTA yatangaza kuanza mitihani kidato cha sita Mei 6, ualimu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la mitihani (NECTA) limetangaza kuanza kwa mitihani ya kidato cha sita na Ualimu huku wakitoa rai kwa kamati za mitihani kuhakiksha usalama wa vituo vya mitihani unaimarishwa na vituo vinatumika…

Waziri Mkuu Majaliwa azindua mbio za hiyari Coco beach Dar

-Atangaza rasmi kampeni ya mbio za hiyari ni ya nchi nzima -Awataka wakazi wa DSM kuendelea kufanya mazoezi ya hiyari kila Jumamosi kuanzia saa 12:00 Asubuhi hadi saa 3:00 Asubuhi Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Waziri Mkuu wa…

WHO IS HUSSAIN yatoa misaada ya milioni 28/- kambi ya waathirika wa mafuriko Chumbi, Rufiji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji MKUU wa wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowelle ametoa agizo kwa watu ambao bado wanaoishi kwenye maeneo yaliyozingirwa na maji ,mabondeni waondoke na kuhamia kwenye maeneo yaliyotengwa na Serikali kwa ajili ya usalama wao. Akipokea…

‘Acheni roho mbaya wasaidieni watumishi mnaowaongoza kupanda vyeo’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora Ridhiwan Kikwete amewataka Wakuu wa idara wanaosimamia utawala na rasilimali watu  nchini kuacha roho mbaya kwa watumishi wenzao na kufanya kazi zao…