JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais Brazil aliomba bunge kutangaza janga la mafuriko, watu 85 wapoteza maisha

Rais wa Brazil Inacio Lula da Silva ameliomba Bunge la nchi hiyo kutangaza uwepo wa janga kwenye jimbo la kusini la Rio Grande do Sul baada ya watu 85 kupoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yanalolikumba eneo hilo. Hatua hiyo…

Urusi kufanya mazoezi ya nyuklia kufuatia ‘vitisho’ vya nchi za Magharibi

Urusi imeanza maandalizi ya mazoezi ya makombora karibu na Ukraine yakiiga matumizi ya silaha za kimkakati za nyuklia ili kukabiliana na “vitisho” vya maafisa wa nchi za Magharibi. Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov alisema kauli za hivi majuzi za Rais…

‘Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati safi ya kupikia itapunguza vitendo vya ukataji miti’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati safi ya Kupikia wa Mwaka 2024 – 2034 kwa kiasi kikubwa utasaidia kupungua kwa vitendo vya ukataji wa miti kwa kupunguza matumizi ya nishati itokanayo na…

Luteni kanali mstaafu Songea aliyesoma na Idd Amini afariki

–Alishirikiana na Samora Machel kuikomboa Msumbiji Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea Tanzania haitamsahau Dikteta Idd Amini Dada aliyeitawala Uganda kwa mabavu kisha kuvamia Tanzania mwaka 1978 ambapo Tanzania iliingia vitani na kufanikiwa kumng’oa mvamizi huyo mwaka 1979. Luteni Kanali Mstaafu…

Shaka ashikwa na butwaa, mwenyekiti adaiwa kuuza mlima wa ekari 1128 kwa milioni 20

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilosa Jeshi la Polisi wilayani Kilosa limewatia mbaroni watu wawili akiwemo Mwenyekiti wa Kitongoji cha Msowero A, Petro Sanga (Paroko) mwenzake, Awadh Ngajime kwa tuhuma za kuuza eneo la mlima, mali ya kijiji cha Msowero wilayani…